Umuhimu wa Ngano katika Jamii ya Wasukuma: Uchanganuzi wa Kijamii na Kitamaduni
Makala hii ni sehemu ya utafiti uliofanyika kabla katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania. Ililenga kubainisha umuhimu wa ngano katika jamii ya Wasukuma wa Kahama, Mkoa wa Shinyanga, kwa muktadha wa kijamii na kitamaduni. Utafiti ulifanyika katika vijiji vya Mpera, Iyenze, Isagehe na mtaa wa Nyakato,...
Spremljeno u:
| Glavni autori: | , |
|---|---|
| Format: | Artigo |
| Jezik: | Suaíli |
| Izdano: |
Utafiti Foundation
2026-02-01
|
| Serija: | Journal of Kiswahili and Other African Languages |
| Teme: | |
| Online pristup: | https://www.utafitionline.com/index.php/jkal/article/view/1549 |
| Oznake: |
Bez oznaka, Budi prvi tko označuje ovaj zapis!
|
